Kocha wa Arsenal Mikel Arteta, amewaambia wachezaji wake waendelee kufikiri kuhusu michezo inayofuata na kuachana na matokeo ...
Kuna methali ya Kiswahili inayosema ‘Kuti la mazoea humwangusha mgema.’ Hiyo ikiwa na maana kwamba jambo ulilozoea kulifanya na kuliona la kawaida kuna siku litakufedhehesha au kukuumiza.